JEMEDARI AUWAWADeprecated: Function eregi_replace() is deprecated in /home/swaalshia/public_html/page.php on line 99 Deprecated: Function split() is deprecated in /home/swaalshia/public_html/page.php on line 103 BISMILAHI RAHMANI RAHIYM ALI BIN ABI TALIB (A.S) AMUUWA JEMADARI WA MAKKA HAMZA AUKUBALI UISLAMU - A.D. 615 Muhammad, Mtume wa Allah (s.w.t.) ingawa alikuwa yuko salama chini ya ulinzi wa ami yake, Abu Talib, lakini bado hakusalimika na bughudha za washirikina. Wakati wowote walipopata mwanya wa kumuudhi, hawakuupoteza. Wakati mmoja Abu Jahal alimkuta akiwa peke yake, na akatumia lugha ya kishenzi na ya kuchukiza Hamza alikuwa mpiganaji, mwindaji na mwanamichezo, na alikuwa hana habari Hamza akampiga kichwani mwake na upinde wake, na kumsababishia atokwe na damu, na akasema: "Na mimi pia nimekuwa Mwislamu." Huu ulikuwa ni mtihani kwa Abu Jahal lakini aliona kwamba kimya kilikuwa ni sehemu bora ya ujasiri, na hakugombana na Hamza, pia akawazuia rafiki zake ambao walitaka kusimama kumtetea. "Ami yake Muhammad, Hamza, mtu wa umri wake mwenyewe, alisifika kuwa mwenye nguvu Hamza alijikuta mwisho kabisa wa uvumilivu wote. Alimpenda Muhammad, ingawa alikuwa hamuelewi (japo kwa makosa, sio kweli). Alikimbilia Msikitini, ambako alimuona Abu Jahal akiwa amekaa miongoni mwa marafiki zake. Akanyanyua uta wake mzito na akampiga nao pigo kubwa
|