BISMILAHI RAHMANI RAHIYMIDeprecated: Function eregi_replace() is deprecated in /home/swaalshia/public_html/page.php on line 99 Deprecated: Function split() is deprecated in /home/swaalshia/public_html/page.php on line 103 MIONGONI MWA HEKIMA ZA IMAMU ALI BIN ABITALIB (A.S) ULEVI WA UJANA Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) amesema: "Ujana ni matawi ya uendawazimu."[1] Imam Ali (a.s.) amesema: "Aina za ulevi ni nne: Ulevi wa ujana, ulevi wa Imam Ali (a.s.) amesema: "Inapasa kwa mwenye akili ajiepushe na ulevi wa mali, ulevi wa uwezo, ulevi wa elimu, ulevi wa sifa, na ulevi wa ujana, kwani hakika hayo yote yana riha mbaya inayoondoa akili na kupunguza unyenyekevu."[3] Imepokewa kuwa Imam Ali na Maimamu (a.s.) walikuwa wakiomba ndani ya mwezi wa Shabani: "Ewe Mungu wangu nimemaliza umri wangu kwenye shari ya kukusahau Wewe. Na nimeumaliza ujana wangu katika ulevi wa kujitenga na Wewe. Ewe Mungu wangu ni siku nyingi sijaamka kwa ajili ya kukufanyia ujeuri, na kurakibu nikielekea njia ya ghadhabu Yako."[4] MATAMANIO YA KIJINSIA Mtego wa Shetani: Mwenyezi Mungu amesema: قُل لِّلْمُؤْمِنِينَ يَغُضُّوا مِنْ اَبْصَارِهِمْ وَيَحْفَظُوا فُرُوجَهُمْ ذٰلِكَ اَزْكَي لَهُمْ إِنَّ اللهَ خَبِيرٌ بِمَا يَصْنَعُونَ
|