Abu HurairahDeprecated: Function eregi_replace() is deprecated in /home/swaalshia/public_html/page.php on line 99 Deprecated: Function split() is deprecated in /home/swaalshia/public_html/page.php on line 103 Abu Hurairah Na Hadith ?
Kila kitu, baadaye kilikuja kupitia yeye. Baadhi ya sheria na itikadi za Dini, yote hayo yalikuja kupitia sentenso zake ambazo hazikuwa katika dini asili hapo mwanzoni. Je ni sentenso ngapi unazozidhania wewe kuwa ziliwatenganisha Wakristo kuacha uasili wao ? Yupo mtu mmoja aitwaye ABU HURAIRAH ambaye historia yake mimi nitaweleteeni hapo mbele baada ya punde. Mtu huyu anasema mwenyewe : Amehadithia Abu Hurairah: Juzuu zote tisa za Sahih Bukhari zina Ahadith 7,068. Kati ya hizo kiasi cha Ahadith 1100 zimenakiliwa na mtu huyu, yaani tuseme katika maneno mengine kuwa yeye amenakili Ahadith kiasi cha 15.56% za Ahadith zote za Sahih Bukhari (kiasi cha 1/6). (Hapa mbeleni nitawapatieni idadi sahihi za Ahadith alizozinakili Abu Hurairah katika Sahih Muslim). Kama vile nilivyoonyesha juu ya "Abu Hurairah", yeye alijipinga mwenyewe na vile vile kisayansi. Hadith ifuatayo ni wazi ambapo yeye anainakili kwani inapingana na vile ‘Aisha bint Abu Bakr ibn Abu Quhafa na ‘Umm Salamah walivyoipokea. Iwapo sisi tutakubali kuwa ‘Aisha bint Abu Bakr ibn Abu Quhafa na ‘Umm Salamah walikuwa katika nyumba ya Mtume Muhammad Mustafa s.a.w.w. wakati mwingi zaidi kuliko wake zake wengine, basi kwa urahisi tutambua pale penye tatizo. Haya yapo katika ukurasa wa 81, katika sura: Hadith hii imetarjumiwa na mtarjumu tu hadi mwishoni mwa aya ya kwanza. Kufikia hapo, aliacha kutarjumu. Hata hivyo, bado ipo katika lugha ya Kiarabu. Kiasi kinachobakia ni tarjuma yangu. Iwapo wewe hautataka kuniamini, ninakushauri urejee katika maandishi ya Kiarabu. Zaid ya hayo, mimi nitakuletea vianzio zaidi kwa ajili ya kuelezea na tarjuma nilioyoifanya. Amehadithia ‘Aisha bint Abu Bakr ibn Abu Quhafa na Umm Salamah: Imehadithiwa na Abu Bakr bin 'Abdur-Rahman : Mimi na baba yangu tulimwendea'Aisha naye akasema :
|